Lebo

Jumatatu, 22 Juni 2015

MNYAMA GANI NI MBAYA ZAIDI YA WENGINE KATI YA HAWA?

Kuna msemo maarufu kwamba kila kiumbe alichokiumba mwenyezi Mungu basi alikiumba kwa sababu maalumu na ni lazima kiumbe hicho kiheshimiwe. Pamoja na ukweli huo bado haifichi ukweli kwamba kuna viumbe ni wabaya kwa kuwatazama na kwa kweli hata kama umekumbana nae asubuhi ukiamka yaani ndo awe mnyama wa kwanza kumuona kwa siku hiyo bila shaka siku yako haitakuwa njema sana. Wafuatao ni wanyama wabaya zaidi kwa sura, umbo na mwonekano.

 

 Source: www.mnn.com
1.BLOBFISH:
 Source: www.notasincreibles.net
2.ORIENTAL YETI
 Source: www.fishtanksandponds.co.uk
3. Celestial Eyed Goldfish
 Source: www.animalspot.net
4.STAR NOSED MOLE

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni