Lebo

Jumatatu, 18 Mei 2015

Kiongozi bora ni yupi?

 

Kiongozi bora ni yupi?
Chakula kinapikwa na pindi kitakapoiva, kila mmoja atagawiwa  pasipo kupunjwa.Nchi yetu inajiandaa na uchaguzi mkuu mnamo oktoba 2015, watu mbalimbali wanajitokeza kutangaza nia kwa ajili ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi haswa nafasi ya urais.
Lakini, kiongozi bora ni yupi? Anatakiwa kuwa na sifa zipi? Je, kati ya watangaza nia wote kuna hata mmoja mwenye sifa za kupewa mikoba ya kuliongoza taifa hili katika kipindi  hiki kigumu?
Mwalimu Nyerere alipata kusema haya; "Ikulu na mahala patakatifu"
Je, itakuwa vipi kama mhalifu atapewa fursa na kukaa magogoni?

Kaa chonjo, kuanzia mwezi juni utapata kujua mbichi na mbivu za wasaka uongozi.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni